Ofisi ya Mbunge Matiko yakabidhi Mifuko 25 ya Saruji kwa ajili ya ujenzi...

Peter
Magwi katibu wa Mbunge jimbo la Tarime Mjini CHADEMA Esther Matiko
akikabidhi Mifuko 25 kwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Regoryo kata ya Nkende
Francis Zaire  kwa ajili ya ujenzi wa Shule Mpya Regoryo ambapo kwa sasa
tayari wananchi wameanza na vyumba Vitatu vya Madarasa.
Peter Magwi katibu wa Mbunge jimbo la Tarime Mjini CHADEMA Esther  akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Mtaa wa Regoryo.

Mifuko 25 iliyokabidhiwa katika ofisi ya mtaa huo kwa ajili ya kuunga mkono nguvu za wananchi katika ujenzi wa shul hiyo Mpya.
                              Tazama Video hapa chini kupata habari kamili.

Powered by Blogger.