CCM Tarime wasemaji wa Chama wapo Puuza Maneno ya watu ambao siyo Viongozi

Marema
Sollo ambaye ni katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Tarime Mkoani Mara
akiongea na Waandishi wa habari ambapo amesema kuwa Chama cha Mapinduzi
Wilaya ya Tarime kina wasemaji wa chama hicho  siyo kwamba kila Mwanachama ni
msemaji na hawatavumilia suala hilo.
Powered by Blogger.