Mwenyekiti wa Halmashauri Mji Tarime Nyanswi akabidhi zawadi kwa wanafunzi washindi katika Mtihani wa kijipima Ngazi ya kata.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Hamis Nyanswi ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Sabasaba akikabidhi zawadi ya Madaftari kwa mwanafunzi aliyeongoza kati ya wanafunzi 358 kutoka shule Nne zilizomo ndani ya kata hiyo walioshiriki Mtiani wa kijipima wa kata. |
Wanafunzi waliofanya vizuri |
Picha ya pamoja na Mgeni rasmi |
Picha ya Pamoja Walimu wa Shule hizo pamoja na wanafunzi washindi wakiwa na zawadi zao |
Wanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Azimio wakiwa darasani |
Miundo mbinu ya Madarsa |
Walimu wako kazini Ofisi ni Changamoto |
TAZAMA VIDEO KUPATA HABARI KAMILI.