MADRID WALIVYOPOKELEWA MADRID NA MWALI WAO WA LA LIGA

Mabingwa wa La Liga, Real Madrid wamepokelewa kwa shangwe kubwa jijini Madrid baada ya rasmi kulibeba kombe hilo katika mechi ya mwisho ya msimu.

Katika mechi hiyo, Madrid imeitwanga Malaga kwa mabao 2-0 na kujihakikishia ubingwa dhidi ya Barcelona waliokuwa wakifukuzana nao kwa kasi.

Mashabiki walijitokeza kwa wingi kuwalaki Madrid wakati wakiwasili katika mitaa ya jiji la Madrid ambalo ni kubwa zaidi kuliko mengine yote nchini humo.













Powered by Blogger.