DIWANI KATA YA IKOMO RORYA ANDREW NYAKRIGA AKABIDHI MIFUKO 22 YA SARUJI SHULE YA MSINGI BUGIRE

Diwani wa kata ya Ikomo Andrew Mng'os Nyakriga Wilayani Rorya Mkoani Mara aliyevaa kofia akikabidhi mifuko 22 ya Saruji kwa Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Bugire Mwl Jackson Nyangubo, Shule hiyo inajumla ya Wanafunzi 1,114 Madarasa yaliyopo ni 07 Hitaji 20 Pungufu 13 hivyo zaidi ya Wanafunzi 180 wanasoma katika Darasa moja Wanachi wa wameanza kujenga Vyumba Nane ili kupunguza Tatizo hilo.



Diwani kata ya Ikoma Wilayani Rorya Mkoani Mara Andrew Mng'os Nyakriga akikagua ujenzi wa Vyumba Nane vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu za wananchi shule ya msingi Bugire.


Diwani Ikomo akiongea na CLEO24 NEWS baada ya kukabidhi Mifuko 22 ya Saruji shule ya Msingi bugire iliyopo Wilayani rorya Mkoani Mara.

Mwenyekiti wa kijiji cha Ikoma kata ya Ikomo Wilayani  Rorya.

Mwananchi akiongea na CLEO24 NEWS amezidi kusistiza wanachi kujitolea kwa lengo la kujenga Madarasa ili kunusuru watoto wao likiwemo suala zima la Madawati.


Powered by Blogger.