Picha ya Mwita Magige44 Mkazi wa kijiji cha Keisangora kata ya Nyamwaga Wilayani Tarime Mkoani Mara akiwa na majeraha baada ya kukatwa Mkono wake wa kushoto kwa kile kilichodaiwa kuwa anadaiwa shilingi laki tatu baada ya kukamatiwa Ngombe wake Wanne.
|