POMBE AINA YA VIROBA VYENYE THAMANI YA BIL. 10.8 VYAKAMATWA DAR



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba (katikati) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya operesheni maalum ya kutokomeza pombe kali aina ya viroba mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo na kushoto ni Kaimu Kamishna wa Polisi Lucas Mkondya.

Baadhi ya Maofisa wa Serikali na Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba wakati akitoa taarifa ya operesheni maalum ya kutokomeza pombe kali aina ya viroba mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Picha zote na Eliphace Marwa
Powered by Blogger.