MAKONDA AKABIDHI MAJINA 97 YA WAUZAJI WAKUBWA WA MADAWA YA KULEVYA NCHINI



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda akimkabidhi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya kupambana na kuzuia Madawa ya Kulevya Nchini Rogers William Sianga majina 97 ya wauzaji wakubwa wa madawa  leo Jijini Dar es Salaam. 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya kupambana na kuzuia Madawa ya Kulevya Nchini Rogers William Sianga akizungumza na viongozi mbalimbali juu ya hatua mbalimbali watakazochukua katika kupambana na wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya nchini.



Viongozi mbalimbali wakimskiliza Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya kupambana na kuzuia Madawa ya Kulevya Nchini Kamishna Rogers William Sianga juu ya mikakati mbalimbali katika kupambana na madawa ya kulevya nchini. 


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda akiwa pamoja na watoto walioathirika na madawa ya kulevya ambao kwa sasa wako chini ya uangalizi wa kituo cha Pedderef Sober House kilichopo Kigamboni.
Powered by Blogger.