ZIARA YA MAJALIWA NJOMBE



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Iwawa ya Makete,  Novatus Msivala  kwenda kufungua madarasa  ya shule hiyo Januari 21, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akifungua madarasa  ya shule ya Sekondari ya Iwawa  iliyopo Makete Januari 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole  Sendeka (kulia kwake ) na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Njombe, Deo Sanga kukagua maeneo ya shule ya sekondari ya Iwawa wilayani Makete  baada ya kufungua madarasa ya shule hiyo Januari 21, 2017.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na walimu wa shule ya sekondari ya Iwawa iliyopo Makete baada ya kufungua madarasa  ya shule hiyo Januari 21, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa  Njombe wakati alipokagua ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Njombe katika eneo la Wikichi katika  Wilaya  ya Njombe Januari 21, 2017.   

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Powered by Blogger.