JAMBO TARIME WATOA MSAADA WA MASHUKA 200 HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI WA TARIME

MKUU WA WILYA YA TARIME GLORIUS LUOGA AKIKABIDHIWA MSAADA WA SHUKA 200 KUTOKA KUNDI LA MTANDAO WA KIJAMII WHATS APP JAMBO TARIME NI WA PILI KUTOKA KULIA WA KWANZA KULIA NI MBUNGE WA JIMBO LA TARIME MJINI ESTHER MATIKO
Kulingana na Changamoto ambazo zimekuwa zikikumba Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani mara likiwemo suala la  upungufu wa Shuka pamoja na Magodoro Hospitali hiyo imepokea Msaada wa Mashuka 200 yenye thamani ya shilingi Millioni Mbili na laki mbili kutoka  kundi la Mtandao wa kijamii WhatsApp linalojulikana  kwa jina la Jambo Tarime.

Wakikabidhi Msaada huo kwa mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorius Luoga katika Hospitali  hiyo Kundi hili la Mtandao wa kijamii Whats App Jambo Tarime wamedai kuwa wameamua kutoa msaada huo baada ya kuguswa na changamoto zinzokabili Hospiali John Bosco Mbusiro ambaye ni Diwani wa kata ya Regicheri ni kiongozi wa Kundi hilo amesema kuwa jambo Tarime ni jukwaa la Mtandoa wa kijamii ambalo limeanzishwa kwa lengo la kujadili changamoto za Wilaya ya Tarime ikiwa ni pamoaja na kusaidia  Jamii.
MKUU WA WILAYA YA TARIME LUOGA AKIFAFANUA JAMBO BAADA YA KUPOKEA MASHUKA 200 KUTOKA KUNDI LA MTANDAO WA KIJAMII JAMBO TARIME
MKUU WA WILAYA AKIKABIDHIWA RASMI MASHUKA HAYO NA KIONGOZI WA KUNDI HILO LA MTANDAO WA KIJAMII WHATSAP JOHN BOSCO MBUSIRO

MBUNGE WA JIMBO LA TARIME MJINI ESTHER MATIKO AKIONGEA JAMBO AMBAYE PIA NI MMOJA WA KUNDI HILO LA JAMBO TARIME AMBALO LIMETOA MSAADA WA MASHUKA 200 KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI WA TARIME.
WANACHUO CHUO
BAADHI YA WANAKIKUNDI KUNDI LA JAMBO TARIME

Powered by Blogger.