DC RORYA ATEKETEZA ZANA HARAMU ZENYE THAMANI YA ZAIDI YA MILLIONI 69.

MKUU WA WILAYA YA RORYA SIMON CHACHA AKITEKETEZA ZANA HARAMU ZENYE THANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILLIONI 69 KATIIKA MWALO WA NYANG'ABO KIJIJI CHA NYANG'OMBE KATA YA  NYAMAGARO
Ili kuendelea kupambana na suala zima la uvuvi haramu mkuu wa wilaya ya Rorya Simon Chacha ameteketeza zana haramu zenye thamani ya  ya zaidi ya shilingi Millioni 69 yakiwemo makokoro ya Sangara 64, Nyavu za Timba281,Nyavu za dagaa30 na Nyavu za kuzamia 8 katika Mwalo wa Nyang,abo  Kata Nyamagaro Wilayani rorya mkoani Mara
Aidha baada aya kuteketeza zana hizo mkuu wa wilaya huyo alielekea katika kituo cha polisi Marini Sota na kuteketeza tena Kokoro za Sangara 46,Timba 879,Na Nyavu za dagaa 27 lengo ni kuhakikikisha Sereikali inatokomeza uvuvi haramu ambao unaendelea katika maeneo mbalimbali katika Ziwa Victoria.
    
MWALO WA NYANGABO WILAYANI RORYA
MKUU WA WILAYA AKISAINI KITABU CHA WAGENI KABLA YA MKUTANO BAINA YAKE NA WANANCHI NA WAVUVI WA MWALO HUO
WANANCHI WA KIJIJI CHA NYANG'ABO
ZANA HARAMU KABLA HAZIJATEKETEZWA NA MKUU WA WILAYA HUYO

MTENDAJI WA KATA NYAMAGARO
DIWANI WA KATA YA NYAMAGARO EZRA MASSANA AKIONGEA NA WANANCHI WAKE KUHUSU SUALA ZANA HARAMU HASARA ZAKE
KAIMU MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYAHORACE MHANDO AKITOA ELIMU KWA WANACHI JUU YA MATUMIZI BORA YA ZIWA VITORIA
KATIBU TAWALA WILAYANI RORYA DAUD MULUMBE AKIONGEA NA WANANCHI
MKUU WA WILAYA YA RORYA SIMON CHACHA AKILAANI VIKALI SUALA LA UVUVI HARAMU AMBO UMEKITHILI KATIKA ZIWA VICTORIA.
WANANCHI WAKITOA MAONI YAO KWA MKUU WA WILAYA YA RORYA
ZANA HARAMU ZIKITEKETEA KWA MOTO BAADA MKUU WA WILAYA KUZITEKETEZA JANA
MKUU WA WILAYA YARORYA AKIONGEA NA WAKAZI WA SOTA JANA JUU YA KUONDOKANA NA SUALA ZIMA LA UVUVI HARAMU KATIKKA ZIWA VICTORIA.
MKUU WA WILAYA RORYA  AKIONESHWA  NA DIWANI WA KATA YA NYAMAGARO EZRA  MASSANA SEHEMU ZENYEKUFANYIWA MAREKEBISHO KATIKA MWALO WA NYANGABO.

Powered by Blogger.