Matiko atoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa shule ya awali.

Picha ya Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Mara CHADEMA Esther Matiko akikabidhi Bati 38 kwa wananchi wa Mtaa wa Kogete kata ya Kenyamanyori kwa ajili ya ujenzi wa shule ya awali.
                                                      Tarime.
Matiko atoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa shule ya awali.

Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara CHADEMA Esther Matiko ametoa msaada wa mabati38 katika mtaa wa Kogete kata Kenyamanyori kwa ajili ya ujenzi wa shule ya awali ili kuweza kumaliza changamoto inayowakabili wakazi wa mtaa huo kwani walidai kuwa watoto wao wanateseka kwa kutembea umbali mrefu kufuata Elimu huku wengine wakijiifadhi katika jengola mtu binafsi ili kupata elimu suala ambalo ni chanangamoto kwao.

Akikabidhi msaada huo Mbunge alisema kuwa hiyo ilikuwa ni moja kati ya ahadi aliyoahidi hapo awali na ameam,ua kufanya hivyo kwa sababu anajua chanagamoto zinzokumba sekta ya Elimu.

“Mimi nisesomea katika mazingira magumu  hivyo kama mbunge wenu japokuwa sina mfuko wa jimbo najipigapiga mshahara wangu na posho ili kuweza klupunguza baadhi ya changamoyo ikiwemo suala zimza la Elimu” alisema Mbunge.

Aidha mbunge aliongeza kuwa kwa kuwa jingo hilo linamahitajiya mabati50  hivyo yaliyobaki aliweza kutoa ahadi nakusema kuwa ataweza kuwapatia mabati hayo ili waweze kujenga jingo hilo huku akiwaimiza wananchi kujitolea ili jingo hilo la awali liwezekukanmilika mapema ili watoto waweze kupata haki ya ya Msingi ya kielimu.
Aniseth Magabe ni mwenyekiti wa mtaa  wa kogete alisema kuwa baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kufanyika na kogete kuwa mtaa mpya nakata mpya ya Kenyamanyori mtaa wake serikali imeusahau suala ambalo linazidi kumpa changam,oto ili kuweza kuwaletea wananchi wake maendeleo.

“Kabla ya mtaa kugawanyika wanafunzi walikuwa na shule lakini badae ilibomoka hivyo kwa sasa tumejipanga na wananchi kuweza kujenga shule mpya ya awali tunatoa shukranizetu kwambunge wetu ambaye ameweza kusikiliza kilio chetu sisi wanakogete” alisema Magabe.

Magabe aliongeza kuwa juhudi zake kwakushirikiana na viongozi wake pia wameisha weka tiripu moja yam awe ili kuoneshja juhudi walizonazo kwa lengo la kusukukma maendeleo katika mtaa huo.

Hata hivyo wananchi hao waliweza kutoa kiliochao kwa mbunge huyokuwa ni sula zima la maji suala amblo linapelekea wananchi hao wazidi kutumia visima vya asili ambavyo siyo salama kwa afya zao .

“Maji yanaenda mjini yanatoka katika mtaa huu l;akini sisi wananchi wa kogete hatuna maji ya bomba tunaomba kilio chetu kisikilizwe” walisema wananchi hao.
                                                                ……Mwisho….
Powered by Blogger.