WWF WATOA MAFUNZO KWA VIJANA.



WWF WATOA  MAFUNZO KWA VIJANA.

Vijana 25 kutoka wilaya za Mkoa wa maraukiwemo  mkoa wa Mwanza wamepata mafunzo juu ya  Utunzaji wa mazingira  pamoja na vyanzo vya maji  ikiwa ni moja ya kuwapa fursa za kujiajili wenyewe kupitia vikundi mbalimbali waliyonayo katika wilaya huskaVijaha hao ambao wamepata mafunzo hayo wametoka wilaya ya Rorya, Musoma Bunda Serengeti na Mkoa wa Mwanza lengo kubwa ikiwa utunzaji kuwajengea uwezo juu ya  utunzaji wa mazingira ususani kupitia mto Mara.
Shirika hilo la WWF linalojiusisha na utunzaji wa mazingira  pamoja na uifadhi wa Vyanzo vya maji, Mwakilishi wa Mratibu wa Mradi Mwasiti Rashid kupitia mwakilishi wa Adah Waigoma alisema kuwa mafunzo hayo yamekuwa yakitolewa mara kwa mara kwa lengo la kuwajengea vija uwezo wa kuhunda vikundi na kuviendeleza wenyewe.
“Sisi tumekuwa tukitoa mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwezesha vikundi vya ujasiliamali ili viweze kusonga mbelena kujikwamua kiuchumi” alisema waigoma.
Mmoja wa washiriki katika Mafunzo hayo Usina Dotto kutoka katika Mkoa wa Mwanza kwenye kikundicha Nyegezi Youth ambapo kikundi hicho  ujiusisha na suala la ufugaji wa kuku na utunzaji wa mazingira elimu aliyoipata ataenda kuisambaza kwa vijana wenzake ili kuweza kuondokana na utegemezi.
“Kupitia mafunzo haya nimejifunza mengi nitazidi kutoa kile nilichokipata kwa vijana wenzangu ili kuweza kupanua wigo na kushauri vijana wajiunge katika vikundi mbalimbali ili kuweza kupata msaada wa haraka” alisema Usina.
Naye issa Juma kutoka Bunda aliongeza kuwa kupitia mafunzo hayo yanayotolewa kwa vijana kwa lengo la kvijana kutunza mazingira vijana wengi wilayani Bunda Mkoani Mara wameanza kujishughulisha kwa wingi.,
“Tunahamasisha vijana wenzetu waendelee kujishughulisha na siyo kusubira ajira kutoka Serikalini” alisema Issa.
              ……Mwisho…
  
Powered by Blogger.