Shirika la Right to Play latoa Mafunzo kwa Maofisa Elimu kata na Wathibi...



Maofisa
Elimu kata na Wathibiti Ubora wa Shule Wilayani Serengeti Mkoani Mara
wakipatiwa Elimu ya Ufundishaji kwa njia ya Michezo ili waweze kutoa
Elimu hiyo kwa walimu katika shule za Msingi jambao ambalo limechangia
ufaulu mkubwa kati ya shule zilizopewa mradi huo kupitia Shirika la
Right to Play.


Elimu inaendelea kutolewa.
Vifaa vinavyotumika kufundishia kwa vitendo.
Wakiwasilisha kile walichojifunza kwa vitendo.
Michezo ya kuongeza ufahamu katika Hesabu.
Mwalimu
Magige Chambiri  ambaye pia ni Mkufunzi  Chuo cha Ualimu TTC Tarime
Mkoani Mara akitoa somo kwa Washiriki wa Mafunzo hayo.
Mwalimu
Magige Chambiri  ambaye pia ni Mkufunzi  Chuo cha Ualimu TTC Tarime
Mkoani Mara akitoa somo kwa Washiriki wa Mafunzo hayo.
Mmoja wa washiriki akionyesha Mbinu za Ufundishaji.
Picha zote na CLEO24NEWS.
Mwezeshaji kutoka Shirika la Right to Play Leah Kimaro akitoa somo kwa Washiriki hao.
Eva
William Mthibitu Ubora wa Elimu Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara
akiwasilisha Mpango kazipamoja na Mikakati iliyowekwa ili kutumika
katika ufundishaji pamoja na Mbinu mbalimbali baada ya kupatiwa mafunzo
hayo ya Siku mbili yaliyoandaliwa na shirika la Right to Play
nakufanyika katika Ukumbi wa Kanisa  Roman Catholic Serengeti.
Idd
Ramadhani  ambaye ni Afida Mradi kutoka Shirika la RIGHT TO PLAY
akifafanua jambo katika mafunzo hayo ambapo amesema kuwa Wamefikia shule
50 za Msingi katika Wilaya ya Serengeti na Shule 16 Tarime kwa
kuwapatia Elimu Walimu 200 na wanatarajia   kuwafikia walimu zaidi ya
800 kwa lengo la kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa Shule za Msingi baada
ya kutoa Elimu ya Mbinu za Ufundishaji kupitia Michezo.
Mayige Makoye Afisa Michezo Wilaya ya Serengeti akisisitiza jambo katika Mafunzo hayo.
 Mwezeshaji toka Right To Play Leah Kimaro akiongoza kipindi cha
Changamoto za elimu  kwa kikosi maalum kinachounda na waratibu elimu na
Wadhibiti Ubora wa Elimu wilaya yaSerengeti Mkoa wa Mara ambao
watahusika na kuelimisha walimu ufundishaji kwa kutumi njia ya Michezo
shuleni.


           Mmoja wa  washiriki akiwasilisha kazi za kikundi


                            Washiriki wakiendelea na kipindi.

                                   Wanafuatilia mada






Afisa Mradi wa RIGHT TO PLAY kutoka shirika la Right To Play Mkoa wa Mara Idd Ramadhani akiendelea
na kazi wakati wa Mafunzo ambayo yameshirikisha Waratibu Elimu na
Wathibiti Ubora wa Elimu na Afisa Michezo Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara.


 Sophia Chamuliho Mratibu elimu kata ya Mugumu akiwasilisha kazi ya vikundi

                            Burudani za hapa na pale zilikuwepo


                                                           
Uwasilishaji.

Picha ya pamoja.
Tazama Video kupata habari kamili kuhusu Mafunzo hayo.

Powered by Blogger.