Halmashauri ya Rorya wapitisha bajeti zaidi ya Bill 38 mwaka wa fedha 20...
| Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Rojas Akuku akiongea katika Baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2018-2019. |
| Madiwani wakiwa katika baraza hilo ambapo wamepitisha zaidi ya Billioni 38 mwaka wa fedha 2018-2019. |
| Diwani wa kata ya Mukoma Lazaro Kitori akichangia hoja katika baraza hilo. |
| Diwani wa Viti Maalum CHADEMA Pendo Odere akichangia hoja katika Baraza hilo. |
| Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Dominick Ndyetabura akijibu hoja za Madiwani. |
| Tazama Video Diwani wa kamati huska akiwasilisha bajeti ya Halmashauri ya Rorya. |