Kijana wa Chacha Wangwe Zakayo ahamia CCM Kutoka CHADEMA ambaye alikuwa...

Aliyekuwa
Diwani wa kata ya Turwa Halmashauri ya Mji wa Tarime Mkoani Mara 
Zakayo Chacha Wangwe kupitia chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA
akionyesha  waandishi wa habari barua rasmi ya kujiuzulu Udiwani katani
kwake na kuamua kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM.
Barua iliyoandikwa na  aliyekuwa Diwani wa kata ya Turwa Zakayo Chacha Wangwe.
Aliyekiuwa Diwani wa kata ya Turwa kupitia CHADEMA Zakayo Chacha Wangwe  akiongea na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Goldland Mjini Tarime.
Waandishi wa Habari wakiwa kazini. 
Katibu
wa Chama Cha Mapinduzi  CCM Wilaya ya Tarime Hamis Mkaruka Kura akiotoa
Shukrani zake kwa Zakayo baada ya kupokelewa rasmi CCM.
PICHA ZOTE NA CLEO24NEWS. 
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI ALICHOKISEMA ZAKAYO CHACHA WANGWE.


Powered by Blogger.