Mwenge wa uhuru wazindua kiwanda cha kukamua mafuta ya alizeti Tarime
Mkurugenzi wa kampuni ya ISAACK AND SONS Josephat Isaack Mwita akimwonesha kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Amour Hamad Amour jinsi kiwanda cha Kukamua Mafuta ya Alizeti kilichopo Nyamongo Wilayani Tarime Mkoani Mara ni jinsi gani kinavyofanya kazi baada ya kukizindua rasmi. |