VIDEO:MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA UJENZI WA KIWANDA CHA...




Mkurugenzi wa Kiwanda cha Chaki Arwa Investment Thobias Raya akimweleza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani jinsi kiwanda kinavyofanya kazi



Mkuu wa Wilaya ya Tarime Glorious Luoga akihamasisha watumishi wa Serikali kuimba Wimbo kwa ajili ya mapokezi ya Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan






Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tarime  Rashid Bugomba kushoto akiteta jambo na katibu wa CCM Wilaya ya Tarime


 Wawekezaji wa kiwanda Cha Sukari kinachotarajiwa kujengwa Tarime ambapo eneo hilo la kiwanda Makamu wa Rais amelitembelea

Makamu wa Rais akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Kiwanda cha kutengeneza Chaki Arwa Investment Mjini Tarime



Makamu wa Rais akisalimiana na Mjumbe wa NEC Wilayani Tarime Mkoani Mara Christopher Gachuma





Kiwanda cha Kutengeneza Chaki kilichopo Halmashauri ya Mji wa Tarime kinachomilikiwa na ARWA INVESTMENT Kabla akijawekewa jiwe la Msingi na Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani akipanda Mti wa Kumbukumbu baada ya kuweka jiwe la Msingi katika kiwanda cha kutengeneza Chaki





PICHA ZOTE NA CLEO24 NEWS UKIWA NA  HABARI  MATUKIO PAMOJA NA MATANGAZO PIGA SIMU NAMBA 0766424928.
    


TAZAMA VIDEO YA MAKAMU WA RAIS BAADA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA KIWANDA CHA KUTENGENEZA CHAKI
Powered by Blogger.