WAZIRI DKT. HARRISON MWAKYEMBE ATEMBELEA TBC NA AZAM MEDIA



Waziri wa  Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe   akiasini kitabu cha wageni alipowasili Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kwaajili ya kukutana na watendaji wa Shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mkururgenzi Mtendaji wa shirika Dkt Ayoub Ryioba.


Waziri wa  Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watatu kulia) akimsikiliza Fundi Mitambo wa  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) Bw.Kasimir Chitenda (alievaa fulana) wakati alipofanya ziara katika shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam.


Mkururgenzi Mtendaji  Shirika  la Utangazaji la Taifa (TBC) Dkt Ayoub Ryioba akitoa maelezo kuhusu utendaji wa Shirika kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa kwanza kulia ) pamoja na watendaji  wa shirika  hilo wakati wa Ziara ya Mhe. Waziri   leo Jijini dar es Salaam.


 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa kwanza kulia.)  akizungumza na Bodi pamoja na watendaji wa  Shirika  la Utangazaji la Taifa (TBC) alipofanya ziara katika shirika hilo leo Jijini Dar  es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) leo Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa kwanza kushoto) akiangalia jinsi vipindi vya luninga vinavyotengenezwa alipotembelea Azam Media  leo Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akibonyeza kitufe katika luninga kinachoonyesha msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara alipofanya ziara Azam Media leo Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wasikilaji wa Uhai FM  alipofanya ziara Azam Media leo Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Azam Media na baadhi ya Watendaji wa Wizara yake alipofanya ziara katika Kampuni hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
 Picha zote na Shamimu Nyaki
Powered by Blogger.