Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)
akisalimiana na Makamo wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la
Korea KOICA Bw.Wooyong Chung akiwa na ujumbe aliofuatana nao
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,(Picha na Ikulu).