ANGALIA PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI MKUU WA MKOA WA MARA CHARLES MLINGWA ALIPOKUWA ZIARA WILAYANI TARIME MKOANI MARA KWA AJILI YA KUKAGUA MAGHALA YA KUIFADHI CHAKULA
| MKUU WA MKOA WA MARA CHARLES MLINGWA AKIONGEA NA AFISA KILIMO HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME SILVANUS GWIBOHA |
| MMOJA WA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA CHAI AKIFAFANUA JAMBO KWA MKUU WA MKOA WA MARA CHARLES MLINGWA |
| MKUU WA MKOA WA MARA AKIWA KATIKA KIWANDA CHA CHAI REBU MJINI TARIME MKOANI MARA |
| MKUU WA MKOA WA MARA CHARLES MLINGWA AKIMUSIKILIZA AFISA KILIMO BAADA YA KUTEMBELEA VITARU VYA MICHE YA CHAI. |
| GHALA LA KUIFADHIA CHAKULA KATA YA MATONGO NYAMONGO |
| MKUUWA MKOA AKIKAGUA GHALA YA KUIFADHI CHAKUKA KATA YA MATONGO NYAMONGO |
| MKUU WA WILAYA YA TARIME GLORIOUS LUOGA AKIONGEA NA WANACHI WA MATONGO KUHUSU MIGOGORO WA MIPAKA |
| MKUU WA MKOA WA MARA CHARLES MLINGWA AKIONGEA NA WANACHI WA KATA YA MATONGO BAADA YA KUKAGUA GHALA LA KUIFADHI CHAKULA |
| MKUU WA MKOA WA MARA AKIONGEA NA VYOMBO VYA HABARI |