TIGO ILIVYOSHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA JIJINI DAR ES SALAAM.

Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma katika duka la Makumbusho Jijini Dar es salaam, ikiwa ni sehemu ya wiki ya huduma kwa wateja.
Na Krantz Mwantepele
Pichani ni sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma.


Wafanyakazi wa Tigo wakiwa na zawadi kwa ajili ya wateja katika duka la Makumbusho Jijini Dar es salaam mapema mwishoni wa wiki hii.
Powered by Blogger.