HUDUMA YA MCHUNGAJI DANIEL KULOLA WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA YAFANA MKOANI DODOMA.
Huduma ya injili iliyofanywa na
mchungaji kiongozi wa Kanisa la "EAGT Lumala Mpya Internationa Church "
lililopo Sabsaba Ilemela Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola
(pichani), mkoani Dodoma imekuwa ya kufaana na watu wengi wameokoka na
kubarikiwa.
Ni katika mkutano wa injili ulioandaliwa
na kanisa la Siloam EAGT Ipagala mkoani Dodoma kwa juma zima ambapo
unatariwa kufikia tamati kesho Oktoba 23, 2016.
Picha na Jorum Samwel
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akiendelea na huduma ya maombezi mkoani Dodoma
Wengi waliponywa na wanaendelea kuponywa kwa jina la Yesu, vifungo vilivyowatesa kwa muda mrefu.
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akifanya maombezi mkoani Dodoma.



