Matiko awaawasa boda boda kutafuta leseni na kufuata sheria za usalama barabarani.

Picha ya mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Mara CHADEMA Esther Matiko kushoto akikabidhi Tisheti Miamoja kwa Mwenyekiti wa Chama cha waendesha pikipiki Rebu Sokini  kama mlezi wa Chama hicho jana katika ukumbi wa Machumbe Wilayani Tarime Mkoani. 
                                       Tarime.

Matiko awaawasa  boda boda kutafuta leseni na kufuata sheria za uisalama barabarani.

Imeelezwa kuwa Elimu ndogo kwa Waendesha pikipiki bodaboda ni chano kikubwa kinachopeleke madereva  hao kutofuata   ksheria za Usalama barabarani na kuzidi  kusababisha kuongezeka kwa ajiali za barbarani  hapa Nchini.

Hayo yamebainishhwa jana katika ukumbi wa Machumbe kipindi mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mara alipokuwa akiongea na waendesha pikipiki hao kipindi walipo kuwa kwenye kikao cha kujadili mienendo na tabia za waendesha pikipiki hao katika ukumbi wa Machumbe Wilayani hapa.

Mbunge huyo alisema kuwa waendesha boda boda hawana budi kufuata sheria za usalama barabarani kwa lengo la kupunguza ajari za barabarani huku wakiwa na leseni kwa lengo la kuondoa usumbufu ambao umekuwa ukijitokeza na bodaboda hao kulalamikia viongozi wa usalama barabarani.

Aidha matiko aliongeza kuwa ajira za bodaboda zimekuwa mkombozi mkubwa katika kupunguza uharifu ususani maeneo ya mjini hivyo serikali haina budi kuwapa vipaumbele vijana hao ambao tayari wameunda kikindichenye jumla ya wanachama 107 na kutambulika kwa jina la Umoja wa Madereva Pikipiki Rebu Sokoni (UWAMAPIRESO) ambapo chama hicho mlezi wakle ni mbunge huyo ambapojana ametoa tisheti Miamoja zenye nembo uya chama hicho ili kuweza kutambulika vyema pale wanapobeba abiria.

“Mkiwa mmevaa tisheti hizi ni rahisi mtu kukutambua kuwa wewe unatoka chama gani kwani hapa mjini kuna vyama vingi vya waendesha pikipiki” alisma Mbunge.

Leonce Matto ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema Iringa mjini alisema kuwa Tathnia ya waendesha bodaboda hapa nchini imecchukua nafasi kubwa lakini bado serikali haijawapa kipaumbele jambo ambalo ni changamoto kubwa na kusababisha vijana kuendelea kuchukia serikali iliyopo madarakani.
uendesha

“Viongozi wa serikali wanakuja wamekuwa wakitoa ahadi nyingi kwa vijana wakiwemo waendesha pikipiki lakini bado hawatekelezi suala ambalo linazidi kuwakatisha tama vija wengi wa tTanzania’ alisema Matto.

Ysuph Edward ni katibu wa Waendesha pikipiki Katika Halmashauri ya mji wa Tarime amezidi kusema kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni ukosefu wa Elimu ya Usalama barabarani huku Afisa Mahusiano Edward Mtiba amedai kuwa Viongozi wa usalama barabarani ndo kikwazo kkikubwa kwao.

“Sisi hizi ndo ajira zetu lakina bao jeshilapolisi linatusumbua sana limetugeuza mtaji” alisema Edward.

…..Mwisho….
Powered by Blogger.