Wazee wa Mila koo 13 jamii ya Kabila la wakurya Tarime wakutana pamoja k...

Viongozi
ambao ni wazee wa Mila koo13 za jamii kabira ya Wakurya Wilayani Tarime
Mkoani Mara wakiwa katika kikao cha pamoja Ukumbi wa MCN Mjini Tarime
kwa lengo la kujadili jinsi gani ya kutoa tamko kwa jamii ili kuondokana
na Miiko ambayo imekuwa ikikandamiza Mtoto wa Kike na kumnyima uhuru na
maamuzi katika jamii inayomzunguka.Mfano wa Miiko hiyo ni kama Mwanamke
ambaye hajakeketwa harusiwi kufungua zizi pamoja na kushiriki sherehe
pamoja na Miiko Mingine.

Valerian
Mgani Meneja Miradi wa Shirika la ATFGM Masanga akieleza lengo la
kukutanisha Wazee hao wa Mila 26 kutoka koo kumi na tatu kwa maana ya
viongozi wawiwili kwa kila koo.
Wazee wakiwa katika kikao cha pamoja.
,,,,Tazama Video hapa chini kupata habari kamili,,,,
Powered by Blogger.